11 Na makuhani na manabii wakaanza kuwaambia wakuu na watu wote: “Mtu huyu anastahili hukumu ya kifo,+ kwa sababu ametoa unabii kulihusu jiji hili kama mlivyosikia kwa masikio yenu wenyewe.”+
2 Watu watawafukuza ninyi katika sinagogi.+ Kwa kweli, saa inakuja wakati ambapo kila mtu anayewaua ninyi atafikiri amemtolea Mungu utumishi mtakatifu.+