Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi Yoshua mwana wa Nuni akawaita makuhani+ na kuwaambia: “Lichukueni sanduku la agano,+ na makuhani saba wachukue pembe saba za kondoo-dume mbele ya sanduku+ la Yehova.”

  • Waamuzi 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa hiyo wakachukua vyakula vya watu hao mkononi mwao, na baragumu+ zao, na watu wote wa Israeli akawaacha waende zao kila mmoja nyumbani kwake; akabaki na wale watu mia tatu. Nayo kambi ya Midiani ilikuwa chini yake katika nchi tambarare ya chini.+

  • Waamuzi 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ndipo akagawanya wale watu mia tatu katika vikosi vitatu na kuwapa wote mkononi baragumu+ na mitungi mikubwa mitupu, na mienge ndani ya mitungi hiyo mikubwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki