Waamuzi 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Baadaye akawaambia watu wa Sukothi:+ “Tafadhali wapeni mikate ya mviringo watu wanaofuata hatua zangu,+ kwa kuwa wamechoka nami ninawafuatilia Zeba+ na Zalmuna,+ wafalme wa Midiani.” Zaburi 83:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na uwafanye watu wao wenye vyeo wawe kama Orebu na kama Zeebu,+Na watawala wao wadogo wote kama Zeba na kama Zalmuna,+
5 Baadaye akawaambia watu wa Sukothi:+ “Tafadhali wapeni mikate ya mviringo watu wanaofuata hatua zangu,+ kwa kuwa wamechoka nami ninawafuatilia Zeba+ na Zalmuna,+ wafalme wa Midiani.”
11 Na uwafanye watu wao wenye vyeo wawe kama Orebu na kama Zeebu,+Na watawala wao wadogo wote kama Zeba na kama Zalmuna,+