14 Ndipo wanaume hao wakamwambia: “Nafsi zetu na zife badala yenu!+ Ikiwa hamtasema juu ya hii shughuli yetu, itatukia kwamba wakati Yehova atakapotupa nchi hii, sisi pia tutakutendea kwa fadhili zenye upendo na kwa uaminifu.”+
15 Naye Daudi akamwambia: “Je, utaniongoza, nishuke mpaka kwenye hiki kikundi cha waporaji?” Naye akasema: “Niapie+ kwa Mungu kwamba hutaniua, wala kunitia mkononi mwa bwana wangu,+ nami nitakuongoza, ushuke mpaka kwenye hiki kikundi cha waporaji.”