Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo wanaume hao wakamwambia: “Nafsi zetu na zife badala yenu!+ Ikiwa hamtasema juu ya hii shughuli yetu, itatukia kwamba wakati Yehova atakapotupa nchi hii, sisi pia tutakutendea kwa fadhili zenye upendo na kwa uaminifu.”+

  • 1 Samweli 20:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na wewe je, ikiwa nitakuwa hai bado,+ ndiyo, je, hutanionyesha fadhili zenye upendo za Yehova, ili nisife?+

  • 1 Samweli 30:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Naye Daudi akamwambia: “Je, utaniongoza, nishuke mpaka kwenye hiki kikundi cha waporaji?” Naye akasema: “Niapie+ kwa Mungu kwamba hutaniua, wala kunitia mkononi mwa bwana wangu,+ nami nitakuongoza, ushuke mpaka kwenye hiki kikundi cha waporaji.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki