Waamuzi 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo wana wa Israeli wakaanza kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+ Basi Yehova akawatia mkononi mwa Midiani+ kwa miaka saba. Zaburi 83:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Uwatendee kama Midiani,+ kama Sisera,+Kama Yabini+ kwenye bonde la mto la Kishoni.+
6 Ndipo wana wa Israeli wakaanza kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+ Basi Yehova akawatia mkononi mwa Midiani+ kwa miaka saba.