16 “Na sasa ikiwa mmetenda kwa ukweli na bila kosa, mkamfanya Abimeleki kuwa mfalme,+ na ikiwa wema ndio mmemwonyesha Yerubaali na nyumba yake, na ikiwa mmemtendea sawasawa na matendo ya mikono yake,
15 Ndani yake mkapatikana mtu mwenye uhitaji lakini mwenye hekima, naye akaliokoa jiji hilo kwa sababu ya hekima yake.+ Lakini hakuna mtu aliyemkumbuka yule mtu mhitaji.+
2 Kwa maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda pesa, wenye kujidai, wenye majivuno, wakufuru, wasiotii wazazi,+ wasio na shukrani, wasio washikamanifu,+