Zaburi 94:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wanaendelea kuropoka, wanaendelea kusema ovyoovyo;+Wote wanaofanya mambo yenye kuumiza wanaendelea kujivuna wenyewe.+ Methali 21:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mtu mwenye kujigamba aliye na kimbelembele na mwenye kujidai, ndilo jina la mtu mwenye ghadhabu ya kimbelembele.+ Yakobo 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Hivyo, pia, ulimi ni kiungo kidogo na bado hujigamba kwa njia kubwa.+ Tazameni! Ni moto mdogo tu unaohitajika ili kuuwasha mwitu mkubwa!
4 Wanaendelea kuropoka, wanaendelea kusema ovyoovyo;+Wote wanaofanya mambo yenye kuumiza wanaendelea kujivuna wenyewe.+
24 Mtu mwenye kujigamba aliye na kimbelembele na mwenye kujidai, ndilo jina la mtu mwenye ghadhabu ya kimbelembele.+
5 Hivyo, pia, ulimi ni kiungo kidogo na bado hujigamba kwa njia kubwa.+ Tazameni! Ni moto mdogo tu unaohitajika ili kuuwasha mwitu mkubwa!