Waamuzi 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi wana wa Israeli wakafanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, wakamsahau Yehova Mungu wao,+ wakatumikia Mabaali+ na miti mitakatifu.+ Zaburi 106:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Nao waliendelea kutumikia sanamu zao,+Nazo zikawa mtego kwao.+ Zaburi 106:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Kwa hiyo wakaendelea kumwaga damu isiyo na hatia,+Damu ya wana wao na binti zao,Ambao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani;+Na nchi ikachafuliwa na umwagaji wa damu.+
7 Basi wana wa Israeli wakafanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, wakamsahau Yehova Mungu wao,+ wakatumikia Mabaali+ na miti mitakatifu.+
38 Kwa hiyo wakaendelea kumwaga damu isiyo na hatia,+Damu ya wana wao na binti zao,Ambao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani;+Na nchi ikachafuliwa na umwagaji wa damu.+