25 Yehova atakufanya ushindwe mbele ya adui zako.+ Utatoka nje kwa njia moja kwenda juu yao, lakini kwa njia saba utakimbia kutoka mbele yao; nawe utakuwa kitu chenye kuogopesha kwa falme zote za dunia.+
6 Nao walivunjwa vipande-vipande, taifa kupigana na taifa+ na jiji kupigana na jiji, kwa sababu Mungu aliendelea kuwatia katika machafuko kwa kila namna ya taabu.+