Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 14:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Basi siku hiyo Yehova akaokoa Israeli kutoka kwa mkono wa Wamisri,+ na Israeli wakawaona Wamisri wakiwa wamekufa kando ya bahari.+

  • 1 Samweli 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Mara Yakobo alipokuwa ameingia Misri+ nao mababu zenu wakaanza kumwomba Yehova msaada,+ Yehova aliwatuma Musa+ na Haruni, ili wawaongoze mababu zenu watoke Misri na kuwakalisha mahali hapa.+

  • Zaburi 78:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Mwishowe akawapiga na kuwaua wazaliwa wote wa kwanza wa Misri,+

      Mwanzo wa nguvu zao za uzazi katika mahema ya Hamu.+

  • Waebrania 11:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kwa imani walipita katikati ya Bahari Nyekundu kana kwamba ni juu ya nchi kavu,+ lakini Wamisri walipothubutu kuipitia wakamezwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki