Kutoka 14:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Basi siku hiyo Yehova akaokoa Israeli kutoka kwa mkono wa Wamisri,+ na Israeli wakawaona Wamisri wakiwa wamekufa kando ya bahari.+ 1 Samweli 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Mara Yakobo alipokuwa ameingia Misri+ nao mababu zenu wakaanza kumwomba Yehova msaada,+ Yehova aliwatuma Musa+ na Haruni, ili wawaongoze mababu zenu watoke Misri na kuwakalisha mahali hapa.+ Zaburi 78:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Mwishowe akawapiga na kuwaua wazaliwa wote wa kwanza wa Misri,+Mwanzo wa nguvu zao za uzazi katika mahema ya Hamu.+ Waebrania 11:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa imani walipita katikati ya Bahari Nyekundu kana kwamba ni juu ya nchi kavu,+ lakini Wamisri walipothubutu kuipitia wakamezwa.+
30 Basi siku hiyo Yehova akaokoa Israeli kutoka kwa mkono wa Wamisri,+ na Israeli wakawaona Wamisri wakiwa wamekufa kando ya bahari.+
8 “Mara Yakobo alipokuwa ameingia Misri+ nao mababu zenu wakaanza kumwomba Yehova msaada,+ Yehova aliwatuma Musa+ na Haruni, ili wawaongoze mababu zenu watoke Misri na kuwakalisha mahali hapa.+
51 Mwishowe akawapiga na kuwaua wazaliwa wote wa kwanza wa Misri,+Mwanzo wa nguvu zao za uzazi katika mahema ya Hamu.+
29 Kwa imani walipita katikati ya Bahari Nyekundu kana kwamba ni juu ya nchi kavu,+ lakini Wamisri walipothubutu kuipitia wakamezwa.+