Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 31:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Ukiwatesa binti zangu+ na ukichukua wake kuongezea binti zangu, hakuna mwanadamu aliye pamoja nasi. Ona! Mungu ni shahidi kati yangu na wewe.”+

  • 1 Samweli 12:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi akawaambia: “Yehova ni shahidi dhidi yenu, na mtiwa-mafuta+ wake ni shahidi leo kwamba hamkupata chochote mkononi mwangu.”+ Nao wakasema: “Yeye ni shahidi.”

  • Yeremia 42:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nao wakamwambia Yeremia: “Yehova na awe shahidi wa kweli na mwaminifu juu yetu+ ikiwa hatutafanya sawasawa kulingana na kila neno ambalo Yehova Mungu wako atakutuma kwetu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki