5 Basi akawaambia: “Yehova ni shahidi dhidi yenu, na mtiwa-mafuta+ wake ni shahidi leo kwamba hamkupata chochote mkononi mwangu.”+ Nao wakasema: “Yeye ni shahidi.”
5 Nao wakamwambia Yeremia: “Yehova na awe shahidi wa kweli na mwaminifu juu yetu+ ikiwa hatutafanya sawasawa kulingana na kila neno ambalo Yehova Mungu wako atakutuma kwetu.+