Mwanzo 16:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Hiyo ndiyo sababu kisima hicho kiliitwa Beer-lahai-roi.+ Tazama, kiko kati ya Kadeshi na Beredi. Hesabu 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nao wana wa Israeli, kusanyiko lote, wakaingia katika nyika ya Zini+ katika mwezi wa kwanza, nao watu wakakaa Kadeshi.+ Hapo ndipo Miriamu+ alipofia na hapo ndipo alipozikwa.
20 Nao wana wa Israeli, kusanyiko lote, wakaingia katika nyika ya Zini+ katika mwezi wa kwanza, nao watu wakakaa Kadeshi.+ Hapo ndipo Miriamu+ alipofia na hapo ndipo alipozikwa.