Hesabu 21:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Sasa Israeli akatuma wajumbe kwa Sihoni+ mfalme wa Waamori, na kusema: Kumbukumbu la Torati 2:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “Ndipo nikatuma wajumbe kutoka katika nyika ya Kedemothi+ mpaka kwa Sihoni+ mfalme wa Heshboni wakiwa na maneno ya amani,+ na kusema, Yoshua 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 na majiji yote ya Sihoni mfalme wa Waamori, aliyetawala katika Heshboni, hadi kwenye mpaka wa wana wa Amoni;+
26 “Ndipo nikatuma wajumbe kutoka katika nyika ya Kedemothi+ mpaka kwa Sihoni+ mfalme wa Heshboni wakiwa na maneno ya amani,+ na kusema,
10 na majiji yote ya Sihoni mfalme wa Waamori, aliyetawala katika Heshboni, hadi kwenye mpaka wa wana wa Amoni;+