7 Ndipo Sulemani akajenga mahali pa juu+ kwa ajili ya Kemoshi,+ chukizo+ la Moabu juu ya mlima+ uliokuwa mbele+ ya Yerusalemu, na kwa ajili ya Moleki, chukizo la wana wa Amoni.
7 Kwa sababu tegemeo lako liko katika kazi zako na katika hazina zako, wewe pia utatekwa.+ Na hakika Kemoshi+ ataenda uhamishoni,+ makuhani wake na wakuu wake wakati uleule.+