3 “Mwamoni au Mmoabu yeyote asiingie katika kutaniko la Yehova.+ Hata kufikia kizazi cha kumi mtu yeyote wao asiingie katika kutaniko la Yehova mpaka wakati usio na kipimo,
9 Kisha Balaki mwana wa Sipori,+ mfalme wa Moabu, akasimama na kupigana na Israeli.+ Basi akatuma ujumbe na kumwita Balaamu mwana wa Beori ili awalaani ninyi.+