Waamuzi 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ndipo watu wa Efraimu wakamwambia: “Umetutendea jambo gani hili kwa kukosa kutuita ulipotoka kwenda kupigana na Midiani?”+ Nao wakatafuta kwa ukali kugombana naye.+ Methali 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+ Methali 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kiburi hutangulia kuanguka,+ na roho ya majivuno hutangulia kujikwaa.+ Yakobo 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana mahali ambapo pana wivu+ na ugomvi, hapo pana machafuko na kila jambo baya.+
8 Ndipo watu wa Efraimu wakamwambia: “Umetutendea jambo gani hili kwa kukosa kutuita ulipotoka kwenda kupigana na Midiani?”+ Nao wakatafuta kwa ukali kugombana naye.+
13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+