Zaburi 49:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nitatega sikio langu nisikie maneno ya kimethali;+Nitafumbua kitendawili+ changu kwa kinubi. Zaburi 78:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Katika neno la kimethali nitakifungua kinywa changu;+Nitafanya vitendawili vya zamani za kale vibubujike,+ Methali 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 ili kuelewa methali na mafumbo,+ maneno ya watu wenye hekima+ na vitendawili vyao.+ Ezekieli 17:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mwana wa binadamu, tega kitendawili+ na utunge neno la kimethali kuelekea nyumba ya Israeli.+
2 Katika neno la kimethali nitakifungua kinywa changu;+Nitafanya vitendawili vya zamani za kale vibubujike,+