Matendo 9:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hata hivyo, hila yao juu yake ikajulikana kwa Sauli. Lakini walikuwa pia wakiyaangalia sana malango mchana na pia usiku ili kumwangamiza.+ 2 Wakorintho 11:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Katika Damasko gavana aliye chini ya Areta mfalme alikuwa akilinda jiji la Wadamasko ili kunikamata,+
24 Hata hivyo, hila yao juu yake ikajulikana kwa Sauli. Lakini walikuwa pia wakiyaangalia sana malango mchana na pia usiku ili kumwangamiza.+
32 Katika Damasko gavana aliye chini ya Areta mfalme alikuwa akilinda jiji la Wadamasko ili kunikamata,+