14 Ndipo wale watu watano waliokuwa wameenda kuipeleleza+ nchi ya Laishi+ wakajibu na kuwaambia ndugu zao: “Je, mlijua kwamba katika nyumba hizi mna efodi na terafimu+ na sanamu ya kuchongwa+ na sanamu ya kuyeyushwa?+ Na sasa mfikirie akilini yale mtakayofanya.”+