17 Musa alipokuwa akiwatuma kuipeleleza nchi ya Kanaani, aliwaambia: “Pandeni hapa na kuingia Negebu,+ nanyi mtapanda na kuingia katika eneo lenye milima.+
2Kisha Yoshua mwana wa Nuni akatuma kisiri wanaume wawili kutoka Shitimu,+ waende wakiwa wapelelezi, akawaambia: “Nendeni, angalieni nchi na Yeriko.” Basi wakaenda wakafika nyumbani kwa mwanamke mmoja kahaba ambaye jina lake lilikuwa Rahabu,+ nao wakakaa humo.
2 Basi Yoshua akatuma wanaume kutoka Yeriko kwenda Ai,+ jiji lililo karibu na Beth-aveni,+ upande wa mashariki wa Betheli,+ na kuwaambia: “Pandeni juu, mkaipeleleze nchi.” Basi wanaume hao wakapanda, wakapeleleza Ai.+