Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 23:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Abrahamu kuwa mali yake iliyonunuliwa mbele ya macho ya wana wa Hethi kati ya wale wote wanaoingia katika lango la jiji lake.+

  • Kumbukumbu la Torati 19:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Shahidi mmoja asiinuke juu ya mtu kuhusu kosa au dhambi yoyote,+ kuhusu dhambi yoyote ambayo huenda akafanya. Kwa kinywa cha mashahidi wawili au kwa kinywa cha mashahidi watatu jambo hilo litathibitishwa vizuri.+

  • Ruthu 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nilifikiri kwamba ninapaswa kukufunulia, nikuambie, ‘Linunue+ mbele ya wakaaji na wanaume wazee wa watu wangu.+ Ikiwa utalikomboa, likomboe; lakini ikiwa hutalikomboa, niambie, nipate kujua, kwa maana hakuna mwingine yeyote ila wewe wa kulikomboa,+ nami ninakufuata.’” Kisha akasema: “Mimi ndiye nitakayelikomboa.”+

  • Yeremia 32:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 kisha nikampa hati ya ununuzi Baruku+ mwana wa Neria+ mwana wa Mahseya mbele ya macho ya Hanameli mwana wa ndugu ya baba yangu na mbele ya macho ya mashahidi, wale wenye kuandika katika ile hati ya ununuzi,+ mbele ya macho ya Wayahudi wote waliokuwa wameketi katika Ua wa Walinzi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki