1 Samweli 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na ikawa kesho yake+ kwamba roho mbaya ya Mungu ikaanza kutenda kazi juu ya Sauli,+ hivi kwamba akatenda kama nabii+ ndani ya nyumba, huku Daudi akipiga muziki kwa mkono wake,+ kama katika siku za hapo zamani; na mkuki ulikuwa mkononi mwa Sauli.+ 1 Samweli 19:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na roho mbaya+ ya Yehova ikaja juu ya Sauli alipokuwa ameketi nyumbani mwake, mkuki ukiwa mkononi mwake, huku Daudi akipiga muziki kwa mkono wake. 1 Samweli 20:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Ndipo Sauli akamtupia mkuki, ili ampige;+ na Yonathani akajua kwamba baba yake alikuwa ameazimia kumuua Daudi.+
10 Na ikawa kesho yake+ kwamba roho mbaya ya Mungu ikaanza kutenda kazi juu ya Sauli,+ hivi kwamba akatenda kama nabii+ ndani ya nyumba, huku Daudi akipiga muziki kwa mkono wake,+ kama katika siku za hapo zamani; na mkuki ulikuwa mkononi mwa Sauli.+
9 Na roho mbaya+ ya Yehova ikaja juu ya Sauli alipokuwa ameketi nyumbani mwake, mkuki ukiwa mkononi mwake, huku Daudi akipiga muziki kwa mkono wake.
33 Ndipo Sauli akamtupia mkuki, ili ampige;+ na Yonathani akajua kwamba baba yake alikuwa ameazimia kumuua Daudi.+