Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 18:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Ndipo wana wa Dani wakamwambia: “Usiache sauti yako isikike karibu nasi, ili kwamba watu wenye uchungu wa nafsi+ wasije wakawashambulia ninyi, nawe upoteze nafsi yako mwenyewe na nafsi za watu wa nyumbani mwako.”

  • 1 Samweli 22:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na watu wote wenye taabu+ na watu wote waliokuwa na mtu anayewadai deni+ na watu wote waliokuwa na uchungu ndani ya nafsi+ wakaanza kukusanyika pamoja kwake,+ akawa mkuu juu yao;+ na watu mia nne wakaja kuwa pamoja naye.

  • 2 Samweli 17:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na Hushai akaendelea kusema: “Wewe mwenyewe unajua vema kwamba baba yako na wanaume wake ni wenye nguvu,+ nao wana uchungu wa nafsi,+ kama dubu-jike ambaye amepoteza watoto wake porini;+ na baba yako ni shujaa wa vita,+ naye hatalala usiku akiwa pamoja na watu.

  • 2 Wafalme 4:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Alipomjia yule mtu wa Mungu wa kweli katika mlima, mara moja akamshika miguu yake.+ Ndipo Gehazi akaja karibu ili amsukume aondoke,+ lakini mtu wa Mungu wa kweli+ akasema: “Mwache,+ kwa maana nafsi yake ina uchungu+ ndani yake; na Yehova amenificha+ jambo hilo wala hakuniambia.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki