Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 7:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Hata hivyo, Farao pia aliwaita watu wenye hekima na walozi;+ na makuhani wa Misri wenye kufanya uchawi nao pia wakafanya jambo hilo hilo kwa ufundi wao wa uchawi.+

  • Mambo ya Walawi 19:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “‘Msiwaendee wenye kuwasiliana na pepo,+ wala msitafute shauri la wajuzi wa kubashiri matukio,+ ili kutiwa unajisi nao. Mimi ni Yehova Mungu wenu.

  • Kumbukumbu la Torati 18:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana kila mtu anayefanya mambo hayo ni chukizo kwa Yehova, na kwa sababu ya machukizo hayo, Yehova Mungu wako anawafukuza kutoka mbele yako.+

  • Isaya 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana umewaacha watu wako, nyumba ya Yakobo.+ Kwa maana wamejaa vitu vya kutoka Mashariki,+ nao ni wenye kufanya uchawi+ kama Wafilisti, nao wamejawa na wana wa wageni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki