4 Ndipo wakasema: “Tunapaswa kumrudishia toleo gani la hatia?” Nao wakasema: “Kulingana na hesabu ya wakuu wa muungano+ wa Wafilisti, bawasiri tano za dhahabu na panya watano wa dhahabu, kwa maana kila mmoja wenu na wakuu wenu wa muungano wana tauni ileile.
17 Basi hizi ndizo bawasiri za dhahabu ambazo Wafilisti walirudisha kuwa toleo la hatia kwa Yehova:+ kwa ajili ya Ashdodi+ moja, kwa ajili ya Gaza+ moja, kwa ajili ya Ashkeloni+ moja, kwa ajili ya Gathi+ moja, kwa ajili ya Ekroni+ moja.