2 Baada ya muda Ruthu yule mwanamke Mmoabu akamwambia Naomi: “Tafadhali, acha niende shambani nikaokote masalio+ katikati ya masuke ya nafaka nyuma ya yeyote yule nitakayepata kibali machoni pake.” Basi akamwambia: “Nenda, binti yangu.”
23 Naye akaendelea kukaa karibu na wanawake vijana wa Boazi na kuokota masalio mpaka mavuno ya shayiri+ na mavuno ya ngano yalipofikia mwisho. Naye akaendelea kukaa na mama-mkwe wake.+