Zaburi 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Machoni pake mtu yeyote mwenye kudharaulika hakika amekataliwa,+Lakini yeye anawaheshimu wale wanaomwogopa Yehova.+Ameapa juu ya jambo lililo baya kwake, na bado yeye habadiliki.+
4 Machoni pake mtu yeyote mwenye kudharaulika hakika amekataliwa,+Lakini yeye anawaheshimu wale wanaomwogopa Yehova.+Ameapa juu ya jambo lililo baya kwake, na bado yeye habadiliki.+