1 Samweli 15:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ndipo Samweli akamwambia: “Yehova ameurarua+ utawala wa kifalme wa Israeli kutoka kwako leo, naye hakika atampa mwenzako ambaye ni bora kuliko wewe.+ 1 Samweli 24:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na sasa tazama! Najua vema bila shaka kwamba wewe utatawala ukiwa mfalme,+ na kwamba ufalme wa Israeli utadumu mkononi mwako. 1 Samweli 26:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ndipo Sauli akamwambia Daudi: “Ubarikiwe, Daudi mwanangu. Bila shaka utafanya kazi nawe bila shaka utakuwa mshindi.”+ Daudi akaenda zake; lakini Sauli akarudi kwake.+ Ayubu 17:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwadilifu anaendelea kuishika sana njia yake,+Na mwenye mikono safi+ anaendelea kuongezeka nguvu.+
28 Ndipo Samweli akamwambia: “Yehova ameurarua+ utawala wa kifalme wa Israeli kutoka kwako leo, naye hakika atampa mwenzako ambaye ni bora kuliko wewe.+
20 Na sasa tazama! Najua vema bila shaka kwamba wewe utatawala ukiwa mfalme,+ na kwamba ufalme wa Israeli utadumu mkononi mwako.
25 Ndipo Sauli akamwambia Daudi: “Ubarikiwe, Daudi mwanangu. Bila shaka utafanya kazi nawe bila shaka utakuwa mshindi.”+ Daudi akaenda zake; lakini Sauli akarudi kwake.+