32 Hao ndio watu walioandikishwa wa wana wa Israeli kulingana na nyumba ya baba zao; wote walioandikishwa wa kambi hizo kwa majeshi yao walikuwa 603,550.+
23 Na Daudi hakuhesabu wale waliokuwa na umri wa miaka 20 kurudi chini, kwa sababu Yehova alikuwa ameahidi kufanya Israeli kuwa wengi kama nyota za mbinguni.+