2 Na Wasiria walikuwa wametoka wakiwa vikundi vya waporaji,+ nao wakamchukua mateka msichana mmoja mdogo+ kutoka katika nchi ya Israeli, naye akaja kuwa mbele ya mke wa Naamani.
23 Basi akawaandalia karamu kubwa; nao wakaanza kula na kunywa, kisha akawaacha, wakaenda zao kwa bwana wao. Na vikundi vya waporaji vya Wasiria havikurudi+ tena hata mara moja katika nchi ya Israeli.