1 Mambo ya Nyakati 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Baada ya muda Waisraeli+ wote wakajikusanya pamoja kwa Daudi katika Hebroni,+ wakisema: “Tazama! Sisi ni mfupa wako na nyama yako.+ 1 Mambo ya Nyakati 12:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na hizi ndizo zilizokuwa hesabu za vichwa vya walioandaliwa kwa ajili ya jeshi ambao walimjia Daudi kule Hebroni+ ili kumpa ufalme+ wa Sauli kulingana na agizo la Yehova.+
11 Baada ya muda Waisraeli+ wote wakajikusanya pamoja kwa Daudi katika Hebroni,+ wakisema: “Tazama! Sisi ni mfupa wako na nyama yako.+
23 Na hizi ndizo zilizokuwa hesabu za vichwa vya walioandaliwa kwa ajili ya jeshi ambao walimjia Daudi kule Hebroni+ ili kumpa ufalme+ wa Sauli kulingana na agizo la Yehova.+