15 utaweka juu yako mfalme ambaye Yehova Mungu wako atachagua.+ Kutoka katikati ya ndugu zako utaweka mfalme juu yako. Hutaruhusiwa kuweka juu yako mgeni ambaye si ndugu yako.
2 “Tafadhali, semeni masikioni mwa wenye mashamba wote wa Shekemu, ‘Ni jambo gani lililo bora kwenu, kwamba watu 70,+ wana wote wa Yerubaali, watawale juu yenu au mtu mmoja atawale juu yenu? Nanyi mkumbuke kwamba mimi ni mfupa na nyama yenu.’”+