Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 17:55
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 Basi wakati ule Sauli alipomwona Daudi akienda kukutana na yule Mfilisti, alimwambia Abneri+ mkuu wa jeshi: “Huyu mvulana+ ni mwana wa nani,+ Abneri?” Abneri naye akasema: “Kwa uhai wa nafsi yako, Ee mfalme, sijui kabisa!”

  • 1 Samweli 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Lakini Daudi akaapa+ tena na kusema: “Hakika baba yako anajua kwamba nimepata kibali machoni pako,+ na hivyo atasema, ‘Yonathani asijue jambo hili, asije akaumia moyoni.’ Lakini, kwa kweli, kama Yehova anavyoishi+ na kama nafsi yako inavyoishi,+ kuna kama hatua moja tu kati yangu na kifo!”+

  • 1 Samweli 25:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Basi sasa, bwana wangu, kama anavyoishi Yehova+ na kama inavyoishi nafsi yako,+ Yehova amekuzuia+ usiingie katika hatia ya damu+ na kufanya mkono wako mwenyewe ukuokoe.+ Basi sasa adui zako na wale wanaotafuta kumdhuru bwana wangu na wawe kama Nabali.+

  • 2 Samweli 14:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na mfalme akaendelea kusema: “Je, mkono wa Yoabu+ upo pamoja nawe katika mambo haya yote?”+ Ndipo yule mwanamke akajibu na kusema: “Kama inavyoishi nafsi yako,+ Ee bwana wangu mfalme, hakuna mtu anayeweza kwenda upande wa kuume wala wa kushoto kutoka kwa yote ambayo bwana wangu mfalme amesema; kwa maana mtumishi wako Yoabu ndiye aliyeniamuru, naye ndiye aliyetia maneno haya yote katika kinywa cha mjakazi wako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki