Mambo ya Walawi 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “‘Usimchukie ndugu yako moyoni mwako.+ Lazima umkaripie mwenzako,+ usije ukachukua dhambi pamoja naye. 1 Mambo ya Nyakati 21:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini Yoabu akasema: “Yehova na aongeze watu wake wawe wengi mara mia kuliko walivyo.+ Ee bwana wangu mfalme, je, wao wote si watumishi wa bwana wangu? Kwa nini bwana wangu anatafuta jambo hili?+ Kwa nini awe sababu ya hatia kwa Israeli?”
17 “‘Usimchukie ndugu yako moyoni mwako.+ Lazima umkaripie mwenzako,+ usije ukachukua dhambi pamoja naye.
3 Lakini Yoabu akasema: “Yehova na aongeze watu wake wawe wengi mara mia kuliko walivyo.+ Ee bwana wangu mfalme, je, wao wote si watumishi wa bwana wangu? Kwa nini bwana wangu anatafuta jambo hili?+ Kwa nini awe sababu ya hatia kwa Israeli?”