1 Samweli 28:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mara moja Sauli akamwapia kwa Yehova, akisema: “Kama Yehova anavyoishi,+ hutapata hatia ya kosa katika jambo hili!” 1 Samweli 28:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini mfalme akamwambia: “Usiogope, lakini uliona nini?” Mwanamke huyo akaendelea kumwambia Sauli: “Niliona mungu+ akipanda juu kutoka katika dunia.”
10 Mara moja Sauli akamwapia kwa Yehova, akisema: “Kama Yehova anavyoishi,+ hutapata hatia ya kosa katika jambo hili!”
13 Lakini mfalme akamwambia: “Usiogope, lakini uliona nini?” Mwanamke huyo akaendelea kumwambia Sauli: “Niliona mungu+ akipanda juu kutoka katika dunia.”