Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 49:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Yuda ni mwana-simba.+ Mwanangu, utapanda kutoka mawindoni. Aliinama, alijinyoosha kama simba, na kama simba, ni nani anayethubutu kumwamsha?+

  • Hesabu 24:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Aliinama chini, akalala kama simba,

      Na, kama simba, ni nani anayethubutu kumwamsha?+

      Wale wanaokubariki ndio waliobarikiwa,+

      Nao wale wanaokulaani ndio waliolaaniwa.”+

  • 2 Samweli 1:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Sauli na Yonathani,+ watu wenye kupendwa na wenye kupendeza wakati wa maisha yao,

      Nao hawakutenganishwa katika kifo chao.+

      Walikuwa wepesi kuliko tai,+

      Walikuwa wenye nguvu kuliko simba.+

  • Isaya 31:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana Yehova ameniambia hivi: “Kama simba anavyonguruma, mwana-simba mwenye manyoya shingoni,+ juu ya mawindo yake, wakati hesabu kamili ya wachungaji wanapokusanywa kupigana naye, na ijapokuwa sauti yao yeye haingiwi na woga na ijapokuwa kelele zao yeye hatainama; vivyo hivyo Yehova wa majeshi atashuka ili kupiga vita juu ya Mlima Sayuni na juu ya kilima chake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki