28 Tunapanda kwenda wapi? Ndugu zetu wameufanya moyo wetu uyeyuke,+ kwa kusema: “Tuliona huko watu wakubwa zaidi na warefu zaidi kuliko sisi,+ majiji makubwa na yaliyotiwa ngome mpaka mbinguni+ na pia wale wana wa Waanaki.”’+
9 Naye akawaambia wanaume hao: “Najua hakika ya kwamba Yehova atawapa nchi hii,+ na ya kwamba tumeshikwa na hofu kwa sababu yenu,+ na ya kwamba wakaaji wote wa nchi wamevunjika moyo kwa sababu yenu.+
5 Na wanaume wa Ai wakawapiga na kuwaua karibu watu 36 kati yao, wakawafuatilia+ kutoka mbele ya lango mpaka Shebarimu, wakaendelea kuwapiga na kuwaua kwenye mteremko. Basi mioyo ya watu ikaanza kuyeyuka, ikawa kama maji.+