Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 1:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Tunapanda kwenda wapi? Ndugu zetu wameufanya moyo wetu uyeyuke,+ kwa kusema: “Tuliona huko watu wakubwa zaidi na warefu zaidi kuliko sisi,+ majiji makubwa na yaliyotiwa ngome mpaka mbinguni+ na pia wale wana wa Waanaki.”’+

  • Yoshua 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Naye akawaambia wanaume hao: “Najua hakika ya kwamba Yehova atawapa nchi hii,+ na ya kwamba tumeshikwa na hofu kwa sababu yenu,+ na ya kwamba wakaaji wote wa nchi wamevunjika moyo kwa sababu yenu.+

  • Yoshua 7:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na wanaume wa Ai wakawapiga na kuwaua karibu watu 36 kati yao, wakawafuatilia+ kutoka mbele ya lango mpaka Shebarimu, wakaendelea kuwapiga na kuwaua kwenye mteremko. Basi mioyo ya watu ikaanza kuyeyuka, ikawa kama maji.+

  • 1 Samweli 17:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Wakati Sauli+ na Israeli wote waliposikia hayo maneno ya yule Mfilisti, wakaingiwa na hofu na kuogopa sana.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki