5 Naye Daudi akaanza kutoka. Popote ambapo Sauli alikuwa akimtuma, alitenda kwa busara,+ hivi kwamba Sauli akamweka juu ya watu wa vita;+ na ikaonekana vema machoni pa watu wote na pia machoni pa watumishi wa Sauli.
34 wakazuia nguvu za moto,+ wakaponyoka makali ya upanga,+ kutoka hali ya udhaifu wakafanywa kuwa wenye nguvu,+ wakawa mashujaa katika vita,+ wakayashinda kabisa majeshi ya wageni.+