Mwanzo 25:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Naye Yakobo akampa Esau mkate na mchuzi wa dengu, naye akala na kunywa.+ Kisha akaondoka akaenda zake. Kwa hiyo Esau aliidharau haki ya kuzaliwa.+ 2 Samweli 23:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na baada yake kulikuwa na Shamma mwana wa Agee, Mharari.+ Nao Wafilisti wakajikusanya kule Lehi, ambapo palikuwa na eneo la shamba lililojaa dengu;+ na watu wakakimbia kwa sababu ya Wafilisti.
34 Naye Yakobo akampa Esau mkate na mchuzi wa dengu, naye akala na kunywa.+ Kisha akaondoka akaenda zake. Kwa hiyo Esau aliidharau haki ya kuzaliwa.+
11 Na baada yake kulikuwa na Shamma mwana wa Agee, Mharari.+ Nao Wafilisti wakajikusanya kule Lehi, ambapo palikuwa na eneo la shamba lililojaa dengu;+ na watu wakakimbia kwa sababu ya Wafilisti.