15 Na mambo ya Rehoboamu, ya kwanza na ya mwisho,+ je, hayakuandikwa kati ya maneno ya Shemaya+ nabii na Ido+ mwonaji kulingana na maandikisho ya kiukoo? Na kulikuwa na vita kati ya Rehoboamu+ na Yeroboamu+ wakati wote.
3 Basi Abiya akaingia vitani na jeshi la wanaume wenye nguvu wa vita,+ mia nne elfu, wanaume waliochaguliwa. Naye Yeroboamu akajipanga kivita kupigana naye akiwa na wanaume waliochaguliwa mia nane elfu, mashujaa, wanaume wenye nguvu.+