2 Mambo ya Nyakati 18:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na Yehova akasema, ‘Ni nani atakayemdanganya Ahabu mfalme wa Israeli ili apande kwenda na kuanguka huko Ramothi-gileadi?’ Na kukawa na mazungumzo, huyu akisema hivi, na yule akisema vile.+
19 Na Yehova akasema, ‘Ni nani atakayemdanganya Ahabu mfalme wa Israeli ili apande kwenda na kuanguka huko Ramothi-gileadi?’ Na kukawa na mazungumzo, huyu akisema hivi, na yule akisema vile.+