25 “Na sasa, Yehova Mungu, lile neno ambalo umesema kumhusu mtumishi wako na kuihusu nyumba yake ulifanye mpaka wakati usio na kipimo na ufanye kama ulivyosema.+
14 Nami nitamsimamisha katika nyumba+ yangu na katika ufalme+ wangu mpaka wakati usio na kipimo, na kiti chake cha ufalme+ kitadumu mpaka wakati usio na kipimo.”’”
9 Sasa, Ee Yehova Mungu, acha ahadi yako kwa Daudi baba yangu itimie,+ kwa maana wewe mwenyewe umenifanya kuwa mfalme+ juu ya watu wengi sana kama chembe za mavumbi ya dunia.+