Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 20:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Naye Ben-hadadi+ mfalme wa Siria akakusanya majeshi yake yote na pia wafalme 32 pamoja naye+ na farasi+ na magari,+ akapanda kwenda kuzingira+ Samaria+ na kupigana nalo.

  • 1 Wafalme 20:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Sasa Ben-hadadi akamwambia: “Majiji+ ambayo baba yangu aliyachukua kutoka kwa baba yako nitayarudisha; nawe utajipa barabara katika Damasko kama vile baba yangu alivyojipa katika Samaria.”

      “Nami nitakuacha uende zako kwa agano.”+

      Kwa hiyo akafanya agano naye na kumwacha aende zake.

  • 1 Wafalme 22:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Naye mfalme wa Siria alikuwa amewaamuru wale wakuu 32+ wa magari yake, akisema: “Msipigane na mdogo wala na mkuu, ila na mfalme wa Israeli peke yake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki