9 Yehova hakawii kuhusiana na ahadi yake,+ kama watu fulani wanavyoona kukawia, bali yeye ni mwenye subira kwenu kwa sababu hataki yeyote aangamizwe bali hutaka wote wafikie toba.+
9 Na wale wanadamu wakaunguzwa kwa joto kubwa, lakini wakalikufuru jina+ la Mungu, aliye na mamlaka+ juu ya mapigo haya, nao hawakutubu ili wampe utukufu.+