Zaburi 68:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hata wafalme wa majeshi wanakimbia, naam, wanakimbia.+Lakini mwanamke anayekaa nyumbani, hugawa nyara.+ Isaya 2:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Katika siku hiyo mtu wa udongo atatupia panya-sange na popo miungu yake ya fedha ya ubatili na miungu yake ya dhahabu isiyo na thamani ambayo walikuwa wamemfanyia yeye ili ainame mbele yake,+ Mathayo 16:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana mtu atapata faida gani akiupata ulimwengu wote lakini aipoteze nafsi yake?+ au mtu atatoa nini ili aipate+ nafsi yake?
12 Hata wafalme wa majeshi wanakimbia, naam, wanakimbia.+Lakini mwanamke anayekaa nyumbani, hugawa nyara.+
20 Katika siku hiyo mtu wa udongo atatupia panya-sange na popo miungu yake ya fedha ya ubatili na miungu yake ya dhahabu isiyo na thamani ambayo walikuwa wamemfanyia yeye ili ainame mbele yake,+
26 Kwa maana mtu atapata faida gani akiupata ulimwengu wote lakini aipoteze nafsi yake?+ au mtu atatoa nini ili aipate+ nafsi yake?