Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 23:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mungu si mwanadamu kwamba aseme uwongo,+

      Wala si mwana wa binadamu kwamba ajute.+

      Je, yeye mwenyewe amelisema naye hatalitenda,

      Na je, yeye amesema naye hatalitimiza?+

  • 2 Wafalme 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi Elisha akasema: “Sikilizeni neno la Yehova.+ Yehova amesema hivi, ‘Kesho karibu na wakati kama huu kipimo kimoja cha sea cha unga laini kitakuwa na thamani ya shekeli moja, na vipimo viwili vya sea vya shayiri vitakuwa na thamani ya shekeli moja katika lango la Samaria.’”+

  • Isaya 44:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Yule anayelitimiza neno la mtumishi wake, na Yule anayelitekeleza kikamilifu shauri la wajumbe wake;+ Yule anayesema kuhusu Yerusalemu, ‘Atakaliwa,’+ na kuhusu majiji ya Yuda, ‘Yatajengwa upya,+ nami nitapainua mahali pake palipofanywa ukiwa’;+

  • Isaya 55:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 ndivyo litakavyokuwa neno langu linalotoka katika kinywa changu.+ Halitarudi kwangu bila matokeo,+ bali hakika litatenda yale ambayo yamenipendeza,+ na hakika litafanikiwa katika yale ambayo nimelituma.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki