7Basi Elisha akasema: “Sikilizeni neno la Yehova.+ Yehova amesema hivi, ‘Kesho karibu na wakati kama huu kipimo kimoja cha sea cha unga laini kitakuwa na thamani ya shekeli moja, na vipimo viwili vya sea vya shayiri vitakuwa na thamani ya shekeli moja katika lango la Samaria.’”+
26 Yule anayelitimiza neno la mtumishi wake, na Yule anayelitekeleza kikamilifu shauri la wajumbe wake;+ Yule anayesema kuhusu Yerusalemu, ‘Atakaliwa,’+ na kuhusu majiji ya Yuda, ‘Yatajengwa upya,+ nami nitapainua mahali pake palipofanywa ukiwa’;+
11 ndivyo litakavyokuwa neno langu linalotoka katika kinywa changu.+ Halitarudi kwangu bila matokeo,+ bali hakika litatenda yale ambayo yamenipendeza,+ na hakika litafanikiwa katika yale ambayo nimelituma.+