8 Basi mtumishi akamjibu Sauli tena na kusema: “Tazama! Kuna sehemu ya nne ya shekeli+ ya fedha mkononi mwangu, nami nitampa huyo mtu wa Mungu wa kweli, naye atatuambia njia yetu.”
3 Nawe uchukue mkononi mwako mikate+ kumi na keki zilizonyunyiziwa kitu na chupa+ ya asali, nawe uingie kwake.+ Yeye ndiye atakayekuambia litakalompata mvulana huyu.”+
5 Ndipo mfalme wa Siria akasema: “Anza safari! Haya njoo, nami nipeleke barua kwa mfalme wa Israeli.” Basi akaenda, akachukua mkononi+ mwake talanta kumi za fedha na vipande elfu sita vya dhahabu+ na mavazi+ kumi.