Isaya 48:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Hakuna amani,” Yehova amesema, “kwa waovu.”+ Isaya 57:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Hakuna amani,” Mungu wangu amesema, “kwa waovu.”+ Isaya 59:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wameipuuza njia ya amani,+ wala hakuna haki katika mapito yao.+ Wamejipotoshea wenyewe barabara zao.+ Hakuna yeyote anayetembea humo atakayejua amani.+ Yeremia 16:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Kwa maana Yehova amesema hivi, ‘Usiingie katika nyumba ya karamu ya mwombolezaji, nawe usiende kuomboleza wala kuwasikitikia.’+ “‘Kwa maana nimeondoa amani yangu kwa watu hawa,’ asema Yehova, ‘hata fadhili zenye upendo na rehema.+ Waroma 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 nao hawajaijua njia ya amani.”+
8 Wameipuuza njia ya amani,+ wala hakuna haki katika mapito yao.+ Wamejipotoshea wenyewe barabara zao.+ Hakuna yeyote anayetembea humo atakayejua amani.+
5 “Kwa maana Yehova amesema hivi, ‘Usiingie katika nyumba ya karamu ya mwombolezaji, nawe usiende kuomboleza wala kuwasikitikia.’+ “‘Kwa maana nimeondoa amani yangu kwa watu hawa,’ asema Yehova, ‘hata fadhili zenye upendo na rehema.+