Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 48:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Hakuna amani,” Yehova amesema, “kwa waovu.”+

  • Isaya 57:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Hakuna amani,” Mungu wangu amesema, “kwa waovu.”+

  • Isaya 59:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Wameipuuza njia ya amani,+ wala hakuna haki katika mapito yao.+ Wamejipotoshea wenyewe barabara zao.+ Hakuna yeyote anayetembea humo atakayejua amani.+

  • Yeremia 16:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Kwa maana Yehova amesema hivi, ‘Usiingie katika nyumba ya karamu ya mwombolezaji, nawe usiende kuomboleza wala kuwasikitikia.’+

      “‘Kwa maana nimeondoa amani yangu kwa watu hawa,’ asema Yehova, ‘hata fadhili zenye upendo na rehema.+

  • Waroma 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 nao hawajaijua njia ya amani.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki