Kumbukumbu la Torati 7:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Sanamu za kuchongwa za miungu yao mtaziteketeza kwa moto.+ Usitamani fedha na dhahabu iliyo juu yake,+ wala usiichukue kwa ajili yako,+ usije ukanaswa nayo;+ kwa maana hizo ni chukizo+ kwa Yehova Mungu wako. 2 Samweli 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi wakaziacha sanamu+ zao huko, kwa hiyo Daudi na watu wake wakazichukua.+ 2 Wafalme 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nao wameiteketeza miungu yao kwa moto, kwa sababu hiyo haikuwa miungu,+ bali kazi ya mikono ya mwanadamu,+ miti na mawe; hivi kwamba wakaiharibu.
25 Sanamu za kuchongwa za miungu yao mtaziteketeza kwa moto.+ Usitamani fedha na dhahabu iliyo juu yake,+ wala usiichukue kwa ajili yako,+ usije ukanaswa nayo;+ kwa maana hizo ni chukizo+ kwa Yehova Mungu wako.
18 Nao wameiteketeza miungu yao kwa moto, kwa sababu hiyo haikuwa miungu,+ bali kazi ya mikono ya mwanadamu,+ miti na mawe; hivi kwamba wakaiharibu.