Kumbukumbu la Torati 7:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Kwa upande mwingine, hivi ndivyo mtakavyowafanyia: Madhabahu zao mtazibomoa,+ nazo nguzo zao takatifu mtazivunja,+ nayo miti yao mitakatifu+ mtaikata,+ na sanamu zao za kuchongwa mtaziteketeza kwa moto.+ Kumbukumbu la Torati 16:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Usijipandie aina yoyote ya mti ili uwe mti mtakatifu karibu na madhabahu ya Yehova Mungu wako ambayo utajifanyia.+ Mika 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nami nitang’oa miti yako mitakatifu+ kutoka katikati yako na kuangamiza majiji yako.
5 “Kwa upande mwingine, hivi ndivyo mtakavyowafanyia: Madhabahu zao mtazibomoa,+ nazo nguzo zao takatifu mtazivunja,+ nayo miti yao mitakatifu+ mtaikata,+ na sanamu zao za kuchongwa mtaziteketeza kwa moto.+
21 “Usijipandie aina yoyote ya mti ili uwe mti mtakatifu karibu na madhabahu ya Yehova Mungu wako ambayo utajifanyia.+